|
|||||||||||||
JAMHURI YA MUUNGANO YA TANZANIAMUUMDO WA UPASHANAJI HABARI wa VINASABA VYA MIMEA |
|||||||||||||
|
|
|||||||||||||
|
|
NINI MAANA YA MUUNDO WA UPASHANAJI HABARI WA VINASABA VYA MIMEA |
||||||||||||
| fkuwezesha upatikanaji na tathmini ya taarifa za vinasaba vya mimea kwa ajili ya chakula na kilimo, | |
| kuimarisha ushirikiano kati ya washika dau nyeti wa vinasaba vya chakula na kilimo (PGRFA) | |
| kusaidia maamuzi, na | |
| kuhifadhi kumbukumbu za kitaifa juu ya vinasaba vya kilimo na chakula (PGRFA). |

| Listi ya viashiria na mtindo wa ripoti, kutathmini utekelezaji wa Mpango mkakati wa dunia (Global Plan of Action); na | |
| mfumo wa taarifa ikiwamo Hifadhidata na injini ya kutafutia, ambayo ina orodha fasaha ya taasisi za taifa zinazohusika na vinasaba (PGRFA), wataalamu, machapisho, sheria na miradi, aidha aina za mazao |