Thumbnail Image

Mwongozo wa Hiari wa Kuhakikisha Uvuvi Mdogo Unakuwa Endelevu Kwa Muktadha wa Uhakika wa Chakula na Kuondoa Umaskini








Related items

Showing items related by metadata.

  • Thumbnail Image
    Book (stand-alone)
    Mwongozo Wa Hiari Kuhusu Uwajibikaji Katika Usimamizi Wa Umiliki Wa Ardhi, Maeneo Ya Uvuvi Na Misitu Kwa Ajili Ya Upatikanaji Na Uhakika Wa Chakula Kwa Taifa 2021
    Mwongozo huu ni nyenzo ya kwanza yenye kina na ya kimataifa kuhusu usimamizi wa umiliki iliyoandaliwa kupitia mashauriano ya kiserikali. Ndani mwake mna ufafanuzi wa kanuni na viwango vilivyokubalika kimataifa kuhusu vitendo vyenye uwajibikaji katika matumizi na udhibiti wa ardhi, maeneo ya uvuvi na misitu. Kanuni zilizomo zinatoa mwelekeo wa kuimarisha sera, sheria na taratibu za kiasasi zinazodhibiti haki za umiliki; uendelezaji wenye uwazi na usimamizi bora wa mifumo wa miliki; na kuimarisha uwezo na utendaji kazi wa mashirika ya umma, mashirika binafsi ya uwekezaji, asasi za kiraia, na watu wenye maslahi katika umiliki na usimamizi wa miliki. Miongozo iliyomo humu imejadili usimamizi wa umiliki katika kiwango cha kitaifa kwa ajili ya upatikanaji wa chakula kwa uhakika, na imekusudiwa kuchangia katika upatikanaji, kwa hatua, wa chakula cha kutosha, kutokomeza umaskini, kulinda mazingira na kufanikisha maendeleo endelevu ya kijamii na kiuchumi.
  • Thumbnail Image
    Booklet
    Kadi ya kuwatambua samaki wakubwa. kwa ajili ya uvuvi wa Bahari Hindi 2022
    Kadi hizi tambulishi zimetengenezwa na Tume ya Tuna ya Bahari ya Hindi (IOTC) ili kusaidia kuboresha taarifa na takwimu za samaki aina ya cetaceans wanaoingiliana na uvuvi wa jodari katika Bahari ya Hindi. Miongozo hii inakusudiwa kutumiwa na wavuvi, mabaharia na watakwimu kuhusiana na aina ya jodari na papa katika Bahari ya Hindi.
  • Thumbnail Image
    Brochure, flyer, fact-sheet
    Ugani Kiganjani - Daraja La Maendeleo Ya Kilimo
    Huduma za ugani kilimo mkononi mwako
    2021
    Also available in:

    Ugani Kiganjani ni mfumo wa kibunifu, rahisi kutumia na wenye gharama nafuu, unaotumia simu na mtandao kutoa taarifa za hali ya hewa, kalenda za mazao, lishe, mifugo na uvuvi nchini Tanzania. Ni moja kati ya huduma muhimu za Digitali Kilimo inayotelewa na Shirika la Chakula na Kilimo la Umoja wa Mataifa kwa nchi wanachama, inayoendana na huduma nyingine za digitali kilimo zinazowalenga wakulima, ikiwamo M-Kilimo na EMA-i. Chapisho hili linalenga kuwasilisha huduma hii katika njia ya kuvutia kwa wadau wote wanaojihusisha na sekta ya kilimo na chakula kwa ngazi zote, kuanzia mkulima wa kawaida, wawakilishi wa tawala za mikoa na serikali za mitaa, watafiti, maafisa wa juu wa serikali n.k, ili kujenga ufahamu wa aplikesheni o, faida zake, walengwa, na jinsi ya kuitumia katika kuchaingia maendeleo vijijini.

Users also downloaded

Showing related downloaded files

No results found.